Kielezo cha Fasili

Kielezo cha Fasili

SvahilštinaEbook
Robert, Shaaban
Mkuki na Nyota Publishers
EAN: 9789987449941
Dostupné online
722 Kč
Běžná cena: 802 Kč
Sleva 10 %
ks

Podrobné informace

Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu. In this important work, Shaaban Robert gives guidelines for authors and poets on versification, but also on pre-requisites to good writing.
EAN 9789987449941
ISBN 9987449948
Typ produktu Ebook
Vydavatel Mkuki na Nyota Publishers
Datum vydání 26. května 2015
Stránky 102
Jazyk Swahili
Země Uruguay
Autoři Robert, Shaaban